.
20th January, 2022
Mtazamaji tafakari kutokuwa na uwezo wa kuzungumza, kutafuna, kupiga miayo, kutabasamu au hata
kumeza chakula kwa njia ya kawaida. hii ndio hali ya maisha ya teresiah njeri aliyepona saratani na ambaye sasa anaisha na kifaa maalum kinywani mwake. mwalimu huyo wa zamani wa shule ya chekechea ambaye ana uwezo wa kufungua kinywa chake angalau kidogo tu anaishi kwa kutumia vyakula vilivyosagwa. baada ya matibabu na safari yake ya kuponaTeresiah sasa anasema hana budi ila kukubali maisha yako mapya. cecilia wakesho anaarifu zaidi.