.
20th January, 2022
kinara wa chama cha ODM Raila Odinga hii leo alitawazwa kuwa mzee wa jamii ya wakuria alipozuru kehancha, eneo bunge la kuria magharibi kaunti ya migori kuendeleza kampeni za azimio la umoja. odinga ambaye alianza rasmi kampeni zake eneo la nyanza mwaka huu aliwahakikishia wakenya kuwa atafanya jitihada kuboresha ugatuzi. odingaalikuwa ameandamana na viongozi kadhaa kutoka magharibi mwa kenya na mlima kenya vile vile ambapo ameendelea kupata uungwaji mkono.