.
8th December, 2021
Idadi ya watu waliofariki kutokana na pombe haramu katika eneo la Njoro inakisiwa kufikia watu wanane baada ya watu wengine watatu kufariki chini ya saa 24 zilizopita.
Hofu imetanda katika eneo hilo ikiaminika kwamba huenda ni watu zaidi waliobogea pombe hiyo na huenda wamefariki nyumbani mwao kimya kimya.