×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa Jubilee na ODM kushirikiana kwenye mkutano wa Azimio la Umoja utakao andaliwa Kasarani

7th December, 2021

Maandalizi ya mkutano mkuu wa Azimio la Umoja utakao andaliwa katika uwanja wa Kasarani hapa Nairobi Ijumaa hii yaendelea kushika kasi.

Wabunge wa Jubilee na Odm wafika katika uwanja huo kukagua kiwango cha maandalizi.

Hapo awali mkutano wa wabunge wa vyama hivyo viwili ulifanyika faraghani huku muungano wkati ya vyaama hivyo viwili

.
RELATED VIDEOS