7th December, 2021
Jamaa mmoja kutoka kijiji cha Muninga Kakamega analilia haki baada ya mke wake kumhadaa kuwa bintiye alifariki miezi kadhaa baada ya talaka yao.
Na hivyo wakafanya tambiko lakuzika mgomba nyumbani kwao, ila ameshangazwa majuzi alipopata mwanawe yuko hai na kumfumania shuleni anakosoma.
Mume huyo sasa anataka kurejeshewa mwanawe ili tambiko jingine la kufukua kaburi lake lifanyike.