×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Suala la Mau: Seneta Moi awataka viongozi wa kisiasa kujitokeza na kutoa suluhu la matatizo ya ardhi

3rd December, 2021

Seneta wa Baringo Gideon moi, amewataka viongozi wote wa kisiasa pasi na kuzingatia mirengo, kujitokeza ili kutafuta suluhu la kudumu la matatiizo yao ya ardhi. Moi aliyekuwa akizungumza katika eneo la sagamion huko Narok Kusini kaunti ya Narok amesema kuwa inasikitisha kuwa kuna hali duni miongoni mwa watu waliomiliki ardhi katika msitu wa mau, baada yao kufurushwa bila kupewa sehemu mbadala.

.
RELATED VIDEOS