25th October, 2021
Kila mwaka, tume ya EACC hurejesha kwa serikali fedha zilizoibwa au mali inayomilikiwa kwa njia isiyo halali. Kwenye sehemu ya kwanza ya makala maalum shajara ya ufisadi, mwanahabari George Maringa anaangazia visa viwili, ambavyo ni kipande cha ardhi kilichomilikiwa na shirika la Kalro, na Stanley Mombo Amuti aliyerejesha shilingi milioni 74.