.
12th June, 2021
Polisi wamenasa simu mia moja na mbili zinazoaminika kuibwa kutoka maeneo tofaouti yakiwemo barabara ya Southern Bypass jijini Nairobi. Msako uliofanywa na polisi kutoka Langata ulianzishwa kufuatia malalamishi ya wananchi huku jumla ya washukiwa kumi na wawili wakitiwa mbaroni. Je, upo mtandao wa wizi wa simu jijini?. Mwanahabari wetu sirajurahman abdullahi na taarifa hiyo kwa kina.