×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mauaji ya Jennifer: Mshukiwa mmoja kwenye mauaji ya Jennifer Wambua amenaswa

8th May, 2021

Usiku wa leo, maafisa wa polisi wanadai kuwa wamefanikiwa kumtambua mwanamme mshukiwa mkuu kwenye mauaji ya aliyekuwa meneja wa mawasiliano katika tume ya ardhi Jennifer Wambua kupitia uchunguzi ambao umekuwa ukiendelea. Mshukiwa huyo Peter Mwangi Njenga amekuwa korokoroni kwa takriban siku thelathini wakati uchunguzi ukiendelea.

.
RELATED VIDEOS