×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mamake wa kambo Rais Obama, Keziah aoko ontango afariki katika hospitali moja mjini London

14th April, 2021

kwa mara nyingine tena, familia ya aliyekua rais wa marekani Barack Obama, inaomboleza kuondokewa na mamake wa kambo keziah aoko ontango aliyefariki katika hospitali moja mjini london uingereza. Nduguye wa kambo malik obama alithibitisha kifo hicho huku akiitaka serikali ya kenya kusaidia kuusafirisha mwili wake hadi humu nchini kwa mazishi. kifo cha mama keziah ambaye amekua akiishi uingereza kwa zaidi ya miaka 10 kinakuja wiki chache baada ya kifo cha nyanyake obama, sarah obama. marehemu keziah aliyekua na umri wa miaka 78 ameacha watoto 4 akiwemo malik, auma, abuu na sadique.

.
RELATED VIDEOS