×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji wa Mombasa wamehimizwa kutotupa taka ovyo ili kudumisha hali ya usafi

27th February, 2021

Serikali ya kaunti ya Mombasa imefunga maeneo ya kutupa taka ambayo hayakuwa yameidhinishwa katika maeneo tofauti kaunti hiyo ili kuhakikisha mazingira safi katika kaunti hiyo. Wenyeji wa kaunti hiyo wamehimizwa kuzingatia kutotupa taka ovyo ili kudumisha hali ya usafi. Kitengo cha mazingira na kawi kimeanzisha zoezi la kusafisha mji huo ambapo wakazi wa Changamwe, Nyali, Mvita, Likoni, Jomvu na Kisauni wamehimizwa kuhakikisha mazingira yao ni nadhifu

.
RELATED VIDEOS