×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Athari ya Tobacco:Muungano waonya kuna bidhaa ya tobacco inayotumiwa na vijana

27th February, 2021

Muungano wa kudhibiti matumizi ya Tobacco nchini KETCA, umeelezea wasiwasi kutokana na kusambazwa kwa vijikaratasi vilivyo na bidhaa zinazotengenezwa kutumia Tobacco ambapo wanaozitumia wanamumunya kama peremende. muungano huo unasema bidhaa hiyo ni hatari kwa matumizi ya binadamu na haswa kwa vijana ambao kwa sasa ndio wanaonunua kwa wingi. Waziri wa afya Mutahi Kagwe alikuwa amepiga marufuku bidhaa hizo mwezi oktoba mwaka jana, lakini kulingana na KETCA, bidhaa hizo bado zinauzwa nchini

.
RELATED VIDEOS