×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima wa mahindi wanapinga hatua ya bodi ya kitaifa ya NCPB kupunguza bei ya mahindi

27th February, 2021

Wakulima wa mahindi eneo la north rift wanapinga hatua ya bodi ya kitaifa ya nafaka na mazao NCPB kupunguza bei ya mahindi kutoka shilingi 2700 hadi shilingi 2550 kwa gunia la kilo tisini. Wakulima waliowasilisha mahindi yao katika maghala yaliyoko Eldoret walishangaa baada ya kubaini kwamba bei ya kila gunia la kilo tisini imepunguzwa kwa shilingi 150. Wakulima hao wanadai kwamba, bei hiyo ilibadilishwa bila ilani kutolewa

.
RELATED VIDEOS