27th January, 2021
Wasanii wa fani za muziki, uchoraji na densi nchini tanzania wanashiriki tamasha la nigh of ideas, tamasha ya kila mwaka inayofanyika kwa uratibu wa serikali ya ufaransa, ambapo zaidi ya tamasha 200 za aina hiyo zinatarajiwa kufanyika katika maeneo tofauti ulimwenguni..tamasha hiyo, yenye kauli mbiu ya ‘pamoja' inakusudia kuimarisha utamaduni na kutambua mchango wa wasanii katika maendeleo ya jamii.