25th January, 2021
Majuma mawili baada ya kukamatwa kwa washukiwa wa mauaji ya watu watano huko Kiambu, kusikizwa kwa kesi hiyo kulichelewa kuanza baada ya mshukiwa mkuu lawrence warunge kukosa kufika mahakamani.
Aidha, upande wa mashtaka uliieleza mahakama kuwa unanuia kumgeuza sarah muthoni kutoka kuwa mshukiwa na kuwa shahidi wa serikali.