×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mauaji Shinyalu: Mwanamme anazuiliwa na Polisi kwa madai ya kumpiga na kumuua mkewe

25th November, 2020

Mwanaume mwenye umri wa miaka 63 kutoka kijiji mayungu kata ya mukulusu eneo bunge la shinyalu kaunti ya kakamega anazuiliwa na polisi katika kituo Shisasari baada ya kumpiga mkewe beatrice imbwaka hadi kufariki. Inadaiwa kuwa mshukiwa alianza kumpiga mwendazake mzozo ulipozuka kuhusiana nani mmiliki halisi wa shilingi 600 ambazo mkewe alikua ameuza pombe aina ya chang'aa. Mkewe alipokataa kumpa hela hizo inadaiwa alimpiga kitutu hadi kumuua

.
RELATED VIDEOS