.
31st October, 2020
Kina mama kutoka jamii ya somali wamependekeza vita dhidi ya ukeketaji vipelekwe hadi mashinani kupunguza hali ya vita hivyo kusalia midomoni jijini. kina mama hao pia wamepata uungwaji mkono na ubalozi wa austria nchini kenya kupambana na ukeketaji ambao huwasababishia kina mama matatizo ya kiafya na kisaikolojia