×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kina mama kutoka jamii ya somali wamependekeza vita dhidi ya ukeketaji vipelekwe hadi mashinani

31st October, 2020

Kina mama kutoka jamii ya somali wamependekeza vita dhidi ya ukeketaji vipelekwe hadi mashinani kupunguza hali ya vita hivyo kusalia midomoni jijini. kina mama hao pia wamepata uungwaji mkono na ubalozi wa austria nchini kenya kupambana na ukeketaji ambao huwasababishia kina mama matatizo ya kiafya na kisaikolojia

.
RELATED VIDEOS