×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Athari Za Korona:Ni vipi serikali inaweza kufungua shule kwa ajili ya wanafunzi waliosalia nyumbani?

31st October, 2020

ongezeko la maambukizi ya korona linazidi kuyumbisha mstakabali wa elimu nchini. serikali imeonekana kukumbwa na suitofahamu kuhusu mbinu bora za kuiendesha sekta ya elimu kwenye majira haya ya covid19. iwapo wanafunzi hawatarejea shuleni kufikia novemba tarehe mbili, huenda silabasi ikaathirika. lakini ni vipi serikali inaweza kufungua shule kwa ajili ya wanafunzi waliosalia nyumbani?

.
RELATED VIDEOS