31st October, 2020
ongezeko la maambukizi ya korona linazidi kuyumbisha mstakabali wa elimu nchini. serikali imeonekana kukumbwa na suitofahamu kuhusu mbinu bora za kuiendesha sekta ya elimu kwenye majira haya ya covid19. iwapo wanafunzi hawatarejea shuleni kufikia novemba tarehe mbili, huenda silabasi ikaathirika. lakini ni vipi serikali inaweza kufungua shule kwa ajili ya wanafunzi waliosalia nyumbani?