×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Polisi yamzuia tapeli mlaghai mkuu, mshukiwa atumia rasilimali za serikali

30th September, 2020

Polisi wanamzuilia jamaa mmoja ambaye anaaminika kuwa tapeli anayetumia vyombo vya serikali kuwalaghai watu pesa. Gordwins Otieno Agutu alitiwa mbaroni na kisha kufikishwa  katika mahakama ya milimani ambapo yadaiwa alikuwa na lengo la kuwalaghai watu fulani pesa nyingi akijifanya afisa wa serikali.

.
RELATED VIDEOS