.
30th September, 2020
Polisi wanamzuilia jamaa mmoja ambaye anaaminika kuwa tapeli anayetumia vyombo vya serikali kuwalaghai watu pesa. Gordwins Otieno Agutu alitiwa mbaroni na kisha kufikishwa katika mahakama ya milimani ambapo yadaiwa alikuwa na lengo la kuwalaghai watu fulani pesa nyingi akijifanya afisa wa serikali.