.
24th January, 2022
Waziri wa usalama wa ndani Fred Matiang'i amepuuzilia malalamishi yaliyoibuliwa na baadhi ya viongozi wa chama cha UDA waliowashutumu maafisa wa polisi kwa kuhusika katika kuvuruga na kutibua mikutano ya Naibu Rais William Ruto pamoja na wabunge wanaomuunga mkono.
Matiang’i amesema kwamba vurugu katika mikutano ya Ruto imechangiwa na ahadi za uongo zinazotolewa na wanasiasa kuwapa wafuasi wao pesa.