19th February, 2021
Watato watatu katika kata ya Bar?Agulu kaunti ndogo ya Alego/Usonga wamefariki baada ya kuhusika kwenye mkasa wa moto. Watato hao ambao ni pacha wa miaka mitatu na mwingine wa miaka sita wamechomeka kiasi cha kutotambulika. Mkasa huo wa moto ulitokea majira ya usiku watoto hao wakiwa wamelala.