×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nyuzi za Ulawiti: Wanaume wengi waishi na sonono na kiwewe cha kulawitiwa wakiwa shuleni, wachanga

7th February, 2021

Je, mtoto wako wa kiume yu salama kiasi gani katika shule ya bweni, achezapo nyumbani ama aendapo dukani ? Imebainika kuwa wanaume wengi wameishi na sonono na kiwewe cha kulawitiwa wakiwa shuleni ama wakicheza mitaani. Wengi wamekuwa hadi kuja kuoa sasa wanaitwa baba, ila athari za kisaikolojia wanaishi nazo na kujiona kuwa si wananume kamili kwa vitendo walivyofanyiwa wakiwa wadogo. Je, taasisi za kuwafanya wanaume wafunguke na kuelezea madhila ya ubakaji na ulawiti bila unyanyapaa zipo? Majibu na maswali zaidi yako kwenye simulizi za wavulana na wanaume, Kwenye makala ya nyuzi za ulawiti na mwanahabari wetu Lofty Matambo ?

.
RELATED VIDEOS