18th June, 2021
Kutoweka kwake Mwenda Mbijiwe ambaye ni mtaalam wa masuala ya usalma, kumeongeza idadi kwenye orodha ya watu ambao wamekuwa wakitoweka kwa njia za kutatanisha kabla ya kupatikana baadaye wakiwa wameuawa au kupotea kabisa. je, Mbijiwe atapatikana?