×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri Magoha atangaza kwamba ufunguzi wa shule utafanyika jumatatu ijayo, mei tarehe kumi

7th May, 2021

Waziri wa elimu, Profesa George Magoha, ametangaza kwamba ufunguzi wa shule utafanyika jumatatu ijayo, Mei tarehe kumi, jinsi ilivyoratibiwa. Akizungumza katika shule ya sekondari ya starehe baada ya kukamilika rasmi kwa usahihishaji wa mtihani wa kcse, Waziri Magoha aliongeza kwamba serikali imo mbioni kuhakikisha kwamba walimu wote wanapokea chanjo ya korona kufikia mwishoni mwa mwezi huu.

.
RELATED VIDEOS