29th May, 2020
Katika makala ya mirindimo Kamishna wa Kanda ya Rift Valley George Natembea anasema wanaume wameanza kuwa na tabia za kulia ovyo. Wakati huohuo muungano wa nasa wawatimua wabunge waasi katika kamati za bunge na nchini Tanzania rais Dkt John Pombe Magufuli ni fundi wa kupiga ngoma. Paul nabiswa na taarifa zaidi