29th May, 2020
Serikali ya kenya inasema kunao watu 140 waliopatikana na korona lakini hawakupeana taarifa sahihi za kuwafikia. Na sasa kenya imerekodi maambukzi mapya 127 na kufikisha jumla ya maambukizi 1,745. Jumla ya sampuli 3,831 zilipimwa kwenye saa 24 zilizopita.