×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi kutoka Magharibi mwa Kenya wakutana nyumbani kwake Atwoli na kuazimia kufanya kazi pamoja

29th May, 2020

Viongozi kutoka magharibi mwa kenya wamekutana nyumbani kwake katibu mkuu wa vyama vya wafanyikazi nchini Francis Atwoli na kuazimia kufanya kazi pamoja kiuchumi na kisiasa. Wanasiasa kutoka katika mirengo yote ya siasa walihudhuria hafla hiyo na baadhi ya maazimo ni pamoja na kuwateua katibu mkuu wa COTU Francis Atwoli, gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya na Spika wa bunge la senate Kenneth Lusaka na waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa kuelekeza jamii hiyo kuhusu mielekeo ya siasa miongoni mwa mambo mengine. Kadhalika waliwateua viongozi watakaofuatilia maswala ya eneo la magharibi katika bunge la kitaifa na lile la senate

.
RELATED VIDEOS