×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Klabu ya AFC Leopard yazindua ufadhili rasmi na kampuni ya Sportpesa

2nd March, 2016

Klabu ya AFC Leopards imezindua rasmi ufadhili wa kampuni ya sportpesa utakaoendelea kwa muda wa miaka mitano. Uzinduzi huo uliofanyika katika hoteli moja hapa jijini nairobi unatazamiwa kuirejesha klabu hiyo katika hadhi yake ya zamani. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wasimamizi wa ingwe, washikadau wa kandanda nchini na pia wachezaji wa zamani wa AFC Leopards ambao wana imani kuwa ufadhili huo utasaidia pa kubwa katika kampeni yao ya kunyakua taji la ligi kuu nchini msimu huu.
.
RELATED VIDEOS