×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Maafisa watatu wa Kamiti wapatiwa hatia ya kuwasaidia wafungwa kutoroka

14th January, 2026

Mahakama ya kushughulikia kesi za ugaidi ya Kahawa imewapata na hatia askari watatu wa Gereza la Kamiti kwa kusaidia wafungwa watatu waliokuwa wamehukumiwa kwa makosa ya ugaidi kutoroka kutoka gereza hilo.

Mahakama hiyo iliwapata walinzi Robert Kipkurui Soi, Kaikai Talengo Moses na Willy Wambua na hatia ya kuwezesha kutoroka kwa wafungwa Musharaf Abdala, Mohamed Ali Abikar na Joseph Juma Odhiambo

.
RELATED VIDEOS