Mahakama kuu nchini leo hii inatarajiwa kuamka hatma ya kesi mbili muhimu zinazohusu uchaguzi mkuu wa Agosti 8.
Majaji wa mahakama hiyo walioteuliwa na Jaji Mkuu David Maraga wanasubiriwa kuamua kesi kuhusu watakaoshiriki mdahalo wa urais ambao umeratibiwa kufanyika Jumatatu.