Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Je ni sahihi kuteua Museveni kuwa mpatanishi mkuu Burundi?

Hivi karibuni, jumuia ya Afrika Mashariki ilimteua Rais Yoweri Museveni kuwa mpatanishi mkuu kati ya serekali ya Pierre Nkurunziza na mahasimu wake. Hali tete Burundi ilizoroteka zaidi wakati mwasi mmoja mkuu bwana Godefroid Niyombere, alisema katika mahojiano na stesheni ya KTN kwamba wakosoaji wa serekali ya Nkurunziza wameamua ni vita pekee vitakavyo weza kutatua mbarika ya kisiasa Burundi.

Changamoto zilizoikumba Burundi zilidhihirika wazi wakati bwana Nkurunziza alipowania hatamu ya tatu kwenye uchaguzi wa urais. Jumuia ya Afrika Mashariki iliyokutana Dar es Salam jumatatu wiki hii ilipendekeza kuahirisha uchaguzi wa rais kwa wiki mbili kutoka July 15th hadi July 30th 2015.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News