The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hivi karibuni, jumuia ya Afrika Mashariki ilimteua Rais Yoweri Museveni kuwa mpatanishi mkuu kati ya serekali ya Pierre Nkurunziza na mahasimu wake. Hali tete Burundi ilizoroteka zaidi wakati mwasi mmoja mkuu bwana Godefroid Niyombere, alisema katika mahojiano na stesheni ya KTN kwamba wakosoaji wa serekali ya Nkurunziza wameamua ni vita pekee vitakavyo weza kutatua mbarika ya kisiasa Burundi.
Changamoto zilizoikumba Burundi zilidhihirika wazi wakati bwana Nkurunziza alipowania hatamu ya tatu kwenye uchaguzi wa urais. Jumuia ya Afrika Mashariki iliyokutana Dar es Salam jumatatu wiki hii ilipendekeza kuahirisha uchaguzi wa rais kwa wiki mbili kutoka July 15th hadi July 30th 2015.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.