Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Upatanishi au urafiki? Kibarua cha Tony Blair kukamilika Mashariki ya Kati

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair amesita kuwa mjumbe wa Umoja wa Mataifa Mashariki ya Kati. Kuangazia muda wake akiwa mjumbe, itabainika wazi kwamba hakufanikisha lolote katika mzozo huo. Wakosoaji wake wanasema amejiweka karibu sana na serikali ya Israel na hawezi kuwajibika kutetea masilahi ya Wapalestina.

Kwa upande mwingine, wadadisi wanaelewa kwamba jukumu la kazi yake Mashariki ya Kati ilikuwa pana mno. Hakuweza kudokeza viegezo madhubuti kupanua uhuru wa Wapalestina kusafiri mji wa Gaza na maeneo yaliyokaliwa na Israel. 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902