The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair amesita kuwa mjumbe wa Umoja wa Mataifa Mashariki ya Kati. Kuangazia muda wake akiwa mjumbe, itabainika wazi kwamba hakufanikisha lolote katika mzozo huo. Wakosoaji wake wanasema amejiweka karibu sana na serikali ya Israel na hawezi kuwajibika kutetea masilahi ya Wapalestina.
Kwa upande mwingine, wadadisi wanaelewa kwamba jukumu la kazi yake Mashariki ya Kati ilikuwa pana mno. Hakuweza kudokeza viegezo madhubuti kupanua uhuru wa Wapalestina kusafiri mji wa Gaza na maeneo yaliyokaliwa na Israel.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.