×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Waumini wadai Mungu wao Jehova Wanyonyi yuhai, atarejea hivi punde

Jehovah Wanyonyi.

Kwingineko ni kwamba waumini wa dhehebu la linalotambulikana  ulimwenguni kote maarufu kama Jehova Wanyonyi ambao wanapatikana  katika Kaunti ya Bungoma, magharibi mwa Kenya, wamewapa waumini wao tumaini baada ya nabii kujitokeza wazi na kudai kwamba Mungu wao ambaye ni Jehova Wanyonyi hakuaga dunia bali alikuwa kwenye ziara za kiungu na kwamba amesema naye, na kumhakikishia kwamba yu hai na atarejea muda si mrefu.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Jehova Wanyonyi