×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Punde baada ya Namwamba kuingia mamlakani, aliahidi kuwa kibarua chake kikubwa ni kuirejesha soka kwenye ramani ya Afrika na dunia

Ni nadra sana kuzipata habari njema za michezo, hasa soka, kutoka nchini Kenya. Hii ikichangiwa pakubwa na hatua ya aliyekuwa Waziri wa Michezo Dr. Amina Mohamed kuvunjilia mbali lililokuwa shirikisho la soka nchini FKF.

Kuvujiliwa mbali kwa FKF, kuliandamwa na kufungiwa nje kwa soka la Kenya na shirikisho la soka duniani, FIFA. Kwa maana hii ni kuwa mama Amina aliachia 'uongozi' wa soka mikononi mwa kamati simamizi/kamati andalizi na kila aina ya kamati. Matokeo yake je? Marufuku yakawa kwa miezi tisa!

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in