×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Read on the App

KMFRI yapongeza hatua ya Rais ya kupiga marufuku chupa za plastiki katika mbuga

Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Bahari na Uvuvi, KEMFRI imekuwa ya hivi punde kuipongeza hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kupiga marufuku utumiaji wa chupa za plastiki katika mbuga za kitaifa, misitu na kwenye fuo za bahari kuanzia tarehe tano mwezi Juni mwaka ujao.

Meneja wa tasisi hiyo, Erick Ochieng amesema hatua hiyo itakabili athari kwa wanyama wa baharini ambayo imekuwa ikisababishwa na utupaji ovyo wa taka za plastiki.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics