Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

KMFRI yapongeza hatua ya Rais ya kupiga marufuku chupa za plastiki katika mbuga

Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Bahari na Uvuvi, KEMFRI imekuwa ya hivi punde kuipongeza hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kupiga marufuku utumiaji wa chupa za plastiki katika mbuga za kitaifa, misitu na kwenye fuo za bahari kuanzia tarehe tano mwezi Juni mwaka ujao.

Meneja wa tasisi hiyo, Erick Ochieng amesema hatua hiyo itakabili athari kwa wanyama wa baharini ambayo imekuwa ikisababishwa na utupaji ovyo wa taka za plastiki.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics