The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Zikiwa zimesalia takribani siku kumi na saba kabla ya kuanza kwa mitihani ya kitaifa, washikadau wa sekta ya elimu kesho watafanya mkutano kujadili namna ya kuzuia udanganyifu katika mitihani hiyo, hasa ile ya Kidato cha Nne KCSE. Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Elimu Amina Mohammed na utahudhuriwa na zaidi ya maafisa elfu moja.
Maafisa wanaotarajiwa katika mkutano huo ni manaibu kamishna wa Kaunti, ambao pia watapokezwa vifunguo vya makonteina mia nne hamsini na tisa yanayohifadhi karatasi za mitihani katika sehemu mbalimbali nchini. Maafisa hao pekee ndio wanaojukumiwa kufungua kontena hizo na kuzifunga wakati mitihani hiyo itakapoanza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.