Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Washikadau wa sekta ya elimu kufanya mkutano kuhusu maandalizi ya mitihani

Zikiwa zimesalia takribani siku kumi na saba kabla ya kuanza kwa mitihani ya kitaifa, washikadau wa sekta ya elimu kesho watafanya mkutano kujadili namna ya kuzuia udanganyifu katika mitihani hiyo, hasa ile ya Kidato cha Nne KCSE. Mkutano huo utaongozwa na Waziri wa Elimu Amina Mohammed na utahudhuriwa na zaidi ya maafisa elfu moja.

Maafisa wanaotarajiwa katika mkutano huo ni manaibu kamishna wa Kaunti, ambao pia watapokezwa vifunguo vya makonteina mia nne hamsini na tisa yanayohifadhi karatasi za mitihani katika sehemu mbalimbali nchini. Maafisa hao pekee ndio wanaojukumiwa kufungua kontena hizo na kuzifunga wakati mitihani hiyo itakapoanza.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Elimu Mitihani