Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu
Mar. 03, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Paul Kurgat aliwahi kuwa Balozi wa Kenya nchini Ukraine na pia alisomea Ulaya, hasa Urusi. Kwenye Elimu Podcast, Balozi Kurgat anazungumza na Faith Kutere kuhusu elimu nchini humo na kulinganisha na mfumo wa elimu nchini Kenya. Pia anaeleza jinsi ambavyo vita kati ya Ukraine na Urusi vitakavyowaathiri wanafunzi wanaosomea huko.
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....
Share this episode