Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE

Elimu
Apr. 28, 2022

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Brooke na Chelsea Sagala ni pacha ambao wamekuwa wakipata alama sawa au zinazokaribiana tangu walipoanza masomo. Wawili hawa walipata gredi ya B- ya alama 57 na kupata alama sawa kwenye masomo yote katika KCPE. Aidha, walipata alama sawa ya 380 kwenye mtihani wa KCPE. Faith Kutere amezungumza na pacha hawa ambao wanasema kuwa licha ya kutia bidii na kushindana masomoni, wamekuwa wakipata alama sawa. Wawili hawa wanalenga kujiunga na Chuo Kikuu cha Katoliki na kusomea uanasheria wakiwa na matumaini kuwa hawatatenganishwa na chochote maishani.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
The Impact of the Eco-Levy on Kenyans
Welcome to The Situation Room Podcast. In today's episode, we're joined by Joyce Gachugi Waweru, the...
.
RECOMMENDED NEWS