Gumzo na Mwanamichezo Podcast: Ndondi yataka nidhamu
Gumzo na Mwanaspoti
Nov. 02, 2021
Katika mashindano ya ndondi, nidhamu na heshima pamoja na uvumilivu ni baadhi ya mambo yanayochangia mwanabondia kuimarika. Edwin Okong’o, mwanabondia ambaye ameliwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali anasema bila nidhamu ni vigumu sana kuimarika katika mchezo wa ndondi. Walter Kinjo amezungumza na Okong’o kuhusu safari yake akiwa mwanabondia na umuhimu wa nidhamu.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast