Gumzo na Mwanamichezo Podcast: Ndondi yataka nidhamu

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Katika mashindano ya ndondi, nidhamu na heshima pamoja na uvumilivu ni baadhi ya mambo yanayochangia mwanabondia kuimarika. Edwin Okong’o, mwanabondia ambaye ameliwakilisha taifa katika mashindano mbalimbali anasema bila nidhamu ni vigumu sana kuimarika katika mchezo wa ndondi. Walter Kinjo amezungumza na Okong’o kuhusu safari yake akiwa mwanabondia na umuhimu wa nidhamu.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS