Gumzo na Mwanaspoti Podcast: Edward Teco, Kupepeta Mpira kumenipandisha ndege
Gumzo na Mwanaspoti
Mar. 20, 2022
Edward Teco alianza kupepeta mpira baada ya kupata jeraha uwanjani akiwa shule ya upili hivyo kumlazimisha kuanza Kupepeta mpira ili kuwafurahisha mashabiki wake. Edward ameshiriki mashindano ya Dunia ya Kupepeta Mpira na hata kukutana na baadhi ya mameneja barani Ulaya, akiwamo Pepe Guardiola wa Manchester City. Katika mazungumzo na mwanahabari wetu Walter Kinjo, Edward anaeleza alivyotembea katika mataifa mbalimbali kutokana na taaluma yake ya kupepeta mpira.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...School Reopening Confusion & Rainy Season Woes
Welcome to this week's episode of the In Case You Missed It Podcast! On today's show, we'll explore ...LATEST PODCAST
-
Kilio cha Mfanyakazi Mkenya
-
Navigating the Deluge: Insights on Floods & Landslides
-
Why I Proposed Amendment Bill To Introduce Term Limits On Union Officials - Eddy Oketch
-
From High-Flying Banker to Healing Pioneer: The Story of Harriet's Botanicals Founder Harrier Chebet
-
Janga la Mafuriko: Msaada wa Dharura Unahitajika!