Gumzo na Mwanaspoti Podcast; Magari ya hybrid ya safari rally hayauzwi

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Magari ya hybrid ambayo kwa mara ya kwanza yalitumika katika mashindano ya dunia ya uendeshaji magari hayauzwi ila yanatengezwa tu kwa ajili ya mashindano. Abdul Sidi ambaye alikuwa dereva vilevile msaidizi yaani navigator anasema magari ya hybrid yametengezwa na teknolojia ya juu zaidi na kwamba mtu wa kawaida haruhusiwi kuendesha. Sidi amezungumza na mwanahabari wetu, Walter Kinjo kuhusu teknolojia hii ya magari ya safari rally ya hybrid.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why is the Finance Bill 2024/2025 The Talk of Town?
Welcome to the latest episode of the "In Case You Missed It" podcast! Join us as we discuss the hotl...
.
RECOMMENDED NEWS