Gumzo na Mwanaspoti Podcast; Magari ya hybrid ya safari rally hayauzwi
Gumzo na Mwanaspoti
Jul. 04, 2022
Magari ya hybrid ambayo kwa mara ya kwanza yalitumika katika mashindano ya dunia ya uendeshaji magari hayauzwi ila yanatengezwa tu kwa ajili ya mashindano. Abdul Sidi ambaye alikuwa dereva vilevile msaidizi yaani navigator anasema magari ya hybrid yametengezwa na teknolojia ya juu zaidi na kwamba mtu wa kawaida haruhusiwi kuendesha. Sidi amezungumza na mwanahabari wetu, Walter Kinjo kuhusu teknolojia hii ya magari ya safari rally ya hybrid.
RELATED EPISODES
Sitaubadili uraia: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Chakula bado ni cha Vibandani: Angela Okutoyi | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...Why is the Finance Bill 2024/2025 The Talk of Town?
Welcome to the latest episode of the "In Case You Missed It" podcast! Join us as we discuss the hotl...LATEST PODCAST
-
Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?
-
WILLIS OTIENO: Kenya Kwanza Leaders Wear Gucci and Balenciaga While Kenyans Suffer
-
Building a Billion-Dollar Future: The Inspiring Journey of Mary Njoki, Founder of Glass House PR
-
Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
-
60 Years of Kenya-US Diplomatic Relations???? - Amb. Meg Whitman