Wauguzi warejea kazini baada ya kuusitisha mgomo wao
Na Mate Tongola
NAIROBI, KENYA, Athari za mgomo wa Madaktari nchini zinatarajiwa kupunguwa kwa kiwango fulani, baada ya wauguzi kuusitisha mgomo wao Jumatano na kukubali kurejea kazini.
Mgomo wa wauguzi hao ulisitishwa jana alasiri baada ya wao kutia sahini makubaliano kati yao na serikali za kaunti 47 nchini ambazo zimekubali kuutambua muungano wao.
Aidha, Muungano huo chini ya Katibu Mkuu Seth Panyako umekubali nyongeza ya mishahara iliyotolewa na serikali Jumapili iliyopita.
Baadhi ya maafikiano hayo ni kuwa, wauguzi walio katika daraja la G hadi L watapata marupurupu ya shilingi elfu ishirini na walio katika daraja la M na zaidi, watapata marupurupu ya shilingi elfu kumi na tano kila mwezi.
Nyongeza hiyo itatolewa kwa awamu mbili ya asilimia 60 mwezi Januari mwaka ujao na asilimia 40 mwezi Julai.
Hail the new sheriffs in town: Butere and MGK retain titles as new champions are crowned
Hail the new sheriffs in town: Butere and MGK retain titles as new champions are crownedKamworor now dreaming big ahead of London Marathon
Geoffrey Kamworor hopes to use the world marathon major as a stepping stone to the 2028 Los Angeles Olympics.Five down two standing: Will Butere and Moi Girls Kamusinga survive the champions purge?
Lukenya writes history as greatest hockey rivals, FSK and St Anthony’s gear up for a winner-takes-all showdown.Shujaa name squad for Hong Kong SVNS World Series Championship
Kenya 7s Technical Bench has unveiled the Shujaa squad for the first leg of the HSBC World Championship opener in Hong Kong, set for April 17-19, 2026.Stage set for Football Mums tournament in Kibera
Preparations are in top gear ahead of the third edition of the Football Mums Tournament slated for April 19, 2026, at Kibera DC Grounds, Nairobi.MOST READ
Hail the new sheriffs in town: Butere and MGK retain titles as new champions are crowned
SPORTS