Wauguzi warejea kazini baada ya kuusitisha mgomo wao

News
By | Dec 15, 2016

Na Mate Tongola

NAIROBI, KENYA, Athari za mgomo wa Madaktari nchini zinatarajiwa kupunguwa kwa kiwango fulani, baada ya wauguzi kuusitisha mgomo wao Jumatano na kukubali kurejea kazini.

Mgomo wa wauguzi hao ulisitishwa jana alasiri baada ya wao kutia sahini makubaliano kati yao na serikali za kaunti 47 nchini ambazo zimekubali kuutambua muungano wao.

Aidha, Muungano huo chini ya Katibu Mkuu Seth Panyako umekubali nyongeza ya mishahara iliyotolewa na serikali Jumapili iliyopita.

Baadhi ya maafikiano hayo ni kuwa, wauguzi walio katika daraja la G hadi L watapata marupurupu ya shilingi elfu ishirini na walio katika daraja la M na zaidi, watapata marupurupu ya shilingi elfu kumi na tano kila mwezi.

Nyongeza hiyo itatolewa kwa awamu mbili ya asilimia 60 mwezi Januari mwaka ujao na asilimia 40 mwezi Julai.

Share this story
Robertson to leave Liverpool at end of season
Andy Robertson will bring down the curtain on his nine-year career at Liverpool at the end of the season, the faltering Premier League champions announced on Thursday
Angola name former Senegal boss Cisse as new coach
The Angolan football federation said Thursday it had hired Senegalese Africa Cup of Nations winner Aliou Cisse as the new head coach of the national team.
School Games: Ng'iya, Kisumu Day make semis as national hockey champs Tigoi bow out
Nyanza Region champions Ng’iya Girls and Kisumu Day are through to the semifinals of the Brookside National Secondary School Term One games
School Games: Kakamega face Upper Hill as Yala renew rivalry with Kisii in rugby
Kakamega High School will face off with Upper Hill in the Brookside National Secondary School rugby 15s semifinals on Friday, as St Mary’s School Yala renew their rivalry with Kisii School.
School Games: Newbies St Mary's Yala make semis as Butere to face Barchando
St Mary’s Yala finished top of Group B after seeing off Friends School Kamusinga 74-72 to make the last four on Thursday at Kisumu Polytechnic Grounds.
.
RECOMMENDED NEWS