Wauguzi wakubaliana na serikali kuhusu matakwa yao

News
By | Dec 14, 2016

Na Beatrice Maganga

Hatimaye Serikali, Chama cha Wauguzi, KNUN  na Baraza la Magavana zimetia saini makubaliano kuhusu matakwa ya wauguzi. Makubaliano hayo yameafikiwa baada ya mapema leo  wauguzi kuondoka katika mkutano wa kutafuta mwafaka.

Hata hivyo walirejea katika mkutano huo saa za adhuhuri.  Akizungumza wakati wa mkutano wa kutia saini makubaliano hayo, Waziri wa Afya Cleopa Mailu ametoa changamoto kwa madaktari kufuata mkondo huo wa wauguzi na kushiriki mazungumzo ili kupata suluhu.

Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Peter Munya vilevile amewataka madaktari kurudi kazini kufuatia agizo lililotolewa jana na Mahakama ya Uajiri na Leba kuwataka wasitishe mgomo. 

Share this story
Bingwafest boosts athletes' preparation ahead of major events
Bingwa Fests prepare athletes for other major athletic events in the country and internationally.
Victor Wanyama: Hail the lion of Muthurwa
Victor Wanyama, the man the legacy .
How emerging boxers shocked big names to book Hit Squad slot
Young boxers are putting their hands up to be considered for national team duty after impressive show in various competitions.
MPs raise concern over rising doping cases
The Sports and Culture Committee has called for strengthening anti-doping systems to protecting the integrity of Kenyan athletics and safeguarding the reputation of the country’s athletes.
Premier League secures fifth Champions League spot
The Premier League has secured a fifth UEFA Champions League spot after topping UEFA’s performance rankings for the second consecutive season.
.
RECOMMENDED NEWS