Wauguzi wakubaliana na serikali kuhusu matakwa yao

News
By | Dec 14, 2016

Na Beatrice Maganga

Hatimaye Serikali, Chama cha Wauguzi, KNUN  na Baraza la Magavana zimetia saini makubaliano kuhusu matakwa ya wauguzi. Makubaliano hayo yameafikiwa baada ya mapema leo  wauguzi kuondoka katika mkutano wa kutafuta mwafaka.

Hata hivyo walirejea katika mkutano huo saa za adhuhuri.  Akizungumza wakati wa mkutano wa kutia saini makubaliano hayo, Waziri wa Afya Cleopa Mailu ametoa changamoto kwa madaktari kufuata mkondo huo wa wauguzi na kushiriki mazungumzo ili kupata suluhu.

Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Peter Munya vilevile amewataka madaktari kurudi kazini kufuatia agizo lililotolewa jana na Mahakama ya Uajiri na Leba kuwataka wasitishe mgomo. 

Share this story
Defending champion Korir faces world champ Simbu in Boston
Organisers have confirmed that eight of the top 10 finishers from the 2025 Boston Marathon will return to the World Athletics Platinum Label road race on April 20.
Ebenyo among stars to battle for glory in Mumias
World Cross Country Championships bronze medallist Daniel Simiu Ebenyo is among more than 500 athletes set to compete during the penultimate leg of the second season of Betika BingwaFest.
Kipchoge urges corporates to continue supporting sports
Kenya is preparing to host one of the two international annual shows in 2026.
USIU-A target podium finish at ACCC
The students are in Group A alongside Egyptian giants Sharkia and Port Fouad
DT finest Njoroge turns focus to prestigious Sunshine Tour
Njoroge clinched the Order of Merit title yesterday after a grueling 10-month battle.
.
RECOMMENDED NEWS