Wauguzi wakubaliana na serikali kuhusu matakwa yao

News
By | Dec 14, 2016

Na Beatrice Maganga

Hatimaye Serikali, Chama cha Wauguzi, KNUN  na Baraza la Magavana zimetia saini makubaliano kuhusu matakwa ya wauguzi. Makubaliano hayo yameafikiwa baada ya mapema leo  wauguzi kuondoka katika mkutano wa kutafuta mwafaka.

Hata hivyo walirejea katika mkutano huo saa za adhuhuri.  Akizungumza wakati wa mkutano wa kutia saini makubaliano hayo, Waziri wa Afya Cleopa Mailu ametoa changamoto kwa madaktari kufuata mkondo huo wa wauguzi na kushiriki mazungumzo ili kupata suluhu.

Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Peter Munya vilevile amewataka madaktari kurudi kazini kufuatia agizo lililotolewa jana na Mahakama ya Uajiri na Leba kuwataka wasitishe mgomo. 

Share this story
Victor Wanyama: The Lion of Muthurwa who roared in Europe
Across his club career, Wanyama featured in 387 matches, scoring 27 goals, and representing six senior clubs in four different countries.
Harambee Starlets upbeat ahead of Fifa series
Starlets are currently in camp preparing for the tournament that will see them play Australia, India and Malawi.
Starlets and Junior Malkia Strikers in race for Soya glory
Starlets had a remarkable year, securing a return to the continental stage and excelling in other regional competitions.
Wounded giants St Anthony's and Kamusinga seek redemption
The two giants are out to salvage their pride and restore lost glory. Kamusinga returns to the national stage after three years in the cold.
Eldoret City Marathon in race to attain World Athletics label
For the last eight years, the race that has pulled the biggest crowds to Eldoret City has maintained its unique status and stature.
.
RECOMMENDED NEWS