Koome aitaka IEBC kuwahakikishia Wakenya uchaguzi huru

News
By Carren Papai | Jun 04, 2022

Jaji Mkuu Martha Koome ameitaka Tume ya Uchaguzi IEBC kushughulikia kwa haraka masuala makuu yaliyosababisha kubatilishwa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2017.

Akizungumza wakati wa kikao na Chama wa Wahariri Nchi kuhusu utayarifu wa Idara ya Mahakama kushughulikia kesi za baada ya uchaguzi, Koome amesema kuwa nyingi ya masuala hayo yalihusu utendakazi wa IEBC.

Koome amesema tume hiyo inastahili kuwaeleza Wakenya namna imeweka mikakati ya kuzuia kurudiwa kwa hali iliyoshuhudiwa hasa kuhusu kusambazwa na kutangazwa kwa matokeo ya kura za urais.

Kikao hicho pia kulijadili suala la wawaniaji wenye kesi mbalimbali mahakamani  hasa baada ya IEBC kusema kuwa hawawezi kuzuiwa hadi rufaa walizowasilishwa zitakaposilikizwa na kuamuliwa. Jaji Daniel Musinga anaeleza amesisitiza umuhimu wa hilo kuzingatiwa.

Koome amesema jumla ya kesi 168 za kura ya mchujo zinasikilizwa na Mahakama ya Kutatua Migogoro ya Vyama Kisiasa, 29 zikishughulikiwa na Mahakama Kuu na moja katika Mahakama ya Juu.

Share this story
Experienced Okello, Chajira named in Kenya Lionesses squad for Rugby Africa Cup
Kenya Lionesses have named an experienced squad featuring Janet Okello and Sheila Chajira for the Rugby Africa Cup as they aim to improve on their previous runner-up finish.
McCarthy set for emotional South Africa reunion after AFCON Draw
Harambee Stars coach Benni McCarthy is preparing for an emotional clash against his home country after Kenya was drawn with South Africa in the 2027 Afcon qualifiers.
Junior Starlets gear up for World Cup qualifier encounter against Uganda
Junior Starlets have set their sights on a crucial away win over Uganda’s Teen Cranes as they aim to secure their return to the global stage.
Under-20 talents to face off in battle for tickets to world event in Eugene
The World Under-20 Championships is set for August 5-9 in Eugene.
Over 2,500 players to battle it out in Duracoat Golf Masters Series
The Duracoat Golf Masters series 2026 will be played at 12 venues before the grand finale that will be staged at Mount Kipipiri at the end of the year. 
.
RECOMMENDED NEWS