Mgombea apanda punda akijiwasilisha kwa IEBC

News
By Esther Kirong' | May 30, 2022
Mwaniaji wa Useneta katika kaunti ya Nyamira kwa Chama cha Democratic Party, DP, Adams Mochenwa amewashangaza wengi baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Tume ya Uchaguzi IEBC akiwa amepanda punda ili kuidhinishwa kuwania nafasi hiyo.   Kijana huyo, Adams mwenye Umri wa miaka 25 amesema amelazimika Kupanda punda ikiwa ni njia mojawapo ya kudhihirisha unyenyekevu, amani na kujitolea kwake kwenye Shughuli ya utoaji huduma kwa wakazi wa kaunti hiyo.   Mochenwa ambaye ni mhandisi wa ujenzi wa barabara, amesema fedha ambazo angetumia katika msafara wake atazielekeza kwa wakfu wake ili kuwasaidia watu wasiojiweza kando na kuwalipia karo wanafunzi wanaotoka familia maskini.
Share this story
Pep Guardiola to leave Man City at the end of the season - reports
Pep Guardiola is set to bring his trophy-laden decade in charge of Manchester City to an end this weekend.
Arsenal on the brink of Premier League title after nervy Burnley win
Arsenal are on the brink of ending a 22-year wait to win the Premier League after beating Burnley 1-0 on Monday, opening up a five-point lead at the top.
Kirimi powers to glory at VetLab Club event
Ericv Karimi is the overall winner of the eighth and final leg of the Kengen golf tournament series. 
Strathmore Swords bounce back to slice Eldonets in league battle
Strathmore University Swords bounced back from Saturday’s defeat to edge out Eldonets 67-64 in a Kenya Basketball Federation (KBF) Women’s Premier League match on Sunday.
K'Ogalo silence Muranga Seal to move one win away from title
Record league champions Gor Mahia moved to within one win of another league title after beating Murang’a Seal 3-1 in a crucial SportPesa Premier League match on Sunday.
.
RECOMMENDED NEWS