Ruto asema uchaguzi mkuu ni baina ya mabwanyenye na wasiojiweza

News
By Carren Papai | Jun 05, 2022

Mgombea wa urais wa Chama cha UDA William Ruto na wandani wake wameendelea kutaja kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Agosti tisa kuwa baina ya mabwanyenye na watu wa matabaka ya chini.

Ruto ambaye amehudhuria ibada za Kanisa la PAG eneo la Dagoreti Kaskazini na PCEA katika Kaunti ya Kiambu amehutubia wakazi wa Gatina ambapo amesema kuwa taifa hili linastahili kuongozwa na mtu anayefahamu fika changamoto za wananchi hasa ukosefu wa ajara miongoni mwa vijana.

Wandani wake Spika wa Bunge la Kitaifa Justine Muturi na Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wameendelea kupuuza uwezo wa Dola Maslahi, System kuingilia uchaguzi mkuu wa Agosti tisa.

Aidha Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na Mbunge wa Kandara Alice Wahome wameendelea kuwasuta wapinzani wao kutokana na kuali kwamba Ruto hatakuwa debeni wakati wa uchaguzi mkuu.

Share this story
Arteta urges Arsenal to seize destiny in crucial Spurs showdown
Mikel Arteta has urged Arsenal F.C. to “write their own destiny” in the north London derby against Tottenham Hotspur F.C. after slipping in the Premier League title race.
Title-hungry Leopards seek to bounce back to winning ways
AFC Leopards will be aiming to return to winning form this weekend as the SportPesa Premier League resumes with a decisive round of fixtures.
Magical Kenya Open: Jastas Madoya reveals what fuels his passion for golf
The spiritual player advises young people to cultivate discipline if they want to reach the lofty heights of playing in the MKO in future.
NOC-K signs strategic MoU with Japanese Olympic Committee
The deal aims at strengthening high-performance systems, athlete development, sports science collaboration, and leadership education between Kenya and Japan.
Youthful Kinoti Kiara crowned African fencing champion
Kiara beat Egypt’s Hamza H. Abuhalwa, Mohamed El Bounjaimi of Morocco and Togo’s Ilan Tchaa Arou to the continental title.
.
RECOMMENDED NEWS