Ruto asema uchaguzi mkuu ni baina ya mabwanyenye na wasiojiweza

News
By Carren Papai | Jun 05, 2022

Mgombea wa urais wa Chama cha UDA William Ruto na wandani wake wameendelea kutaja kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Agosti tisa kuwa baina ya mabwanyenye na watu wa matabaka ya chini.

Ruto ambaye amehudhuria ibada za Kanisa la PAG eneo la Dagoreti Kaskazini na PCEA katika Kaunti ya Kiambu amehutubia wakazi wa Gatina ambapo amesema kuwa taifa hili linastahili kuongozwa na mtu anayefahamu fika changamoto za wananchi hasa ukosefu wa ajara miongoni mwa vijana.

Wandani wake Spika wa Bunge la Kitaifa Justine Muturi na Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wameendelea kupuuza uwezo wa Dola Maslahi, System kuingilia uchaguzi mkuu wa Agosti tisa.

Aidha Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na Mbunge wa Kandara Alice Wahome wameendelea kuwasuta wapinzani wao kutokana na kuali kwamba Ruto hatakuwa debeni wakati wa uchaguzi mkuu.

Share this story
Man City win historic fourth straight Premier League title
Arsenal finish second after a stellar season.
All hail K'Ogalo! Gor Mahia win record 21st Premier League title
Gor Mahia win record 21st Premier League title.
Kenya Sevens to play Germany in Challenger Series quarters
Shujaa are seeking to qualify for the promotion playoff in Madrid at the end of May.
'We had a great time': Klopp ready to wave goodbye to Anfield crowd
Feyenoord coach Arne Slot confirmed on Friday he would be replacing the German.
English Premier League: What's up for grabs on final day
Man City and Arsenal fight for the title.
.
RECOMMENDED NEWS