Ruto asema uchaguzi mkuu ni baina ya mabwanyenye na wasiojiweza

News
By Carren Papai | Jun 05, 2022

Mgombea wa urais wa Chama cha UDA William Ruto na wandani wake wameendelea kutaja kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Agosti tisa kuwa baina ya mabwanyenye na watu wa matabaka ya chini.

Ruto ambaye amehudhuria ibada za Kanisa la PAG eneo la Dagoreti Kaskazini na PCEA katika Kaunti ya Kiambu amehutubia wakazi wa Gatina ambapo amesema kuwa taifa hili linastahili kuongozwa na mtu anayefahamu fika changamoto za wananchi hasa ukosefu wa ajara miongoni mwa vijana.

Wandani wake Spika wa Bunge la Kitaifa Justine Muturi na Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wameendelea kupuuza uwezo wa Dola Maslahi, System kuingilia uchaguzi mkuu wa Agosti tisa.

Aidha Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na Mbunge wa Kandara Alice Wahome wameendelea kuwasuta wapinzani wao kutokana na kuali kwamba Ruto hatakuwa debeni wakati wa uchaguzi mkuu.

Share this story
Sh11 B more to beat AFCON 2027 deadline
Kenya requires an additional Sh11.02 billion from the Exchequer to  complete key stadiums earmarked for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON),
Universities raise the bar in KUSF games
The just concluded Kenya Universities Sports Federation (KUSF) Nairobi North Conference League has once again revealed the growing competitiveness of university sports in Kenya.
Ronaldo, 41, leads Portugal into his sixth World Cup
Veteran Portugal striker Cristiano Ronaldo will lead his country into the 2026 World Cup this summer after coach Roberto Martinez named the 41-year-old in his squad on Tuesday.
Kenya's Afcon dream is under threat as FKF officials fight
FKF president Hussein Mohamed insists the National Executive Committee meeting of April 24, which voted to suspend him, was irregular, unconstitutional, and in his own words, a coup.
McCarthy faces emotional South Africa reunion
Kenya's Harambee Stars placed in Group D for PAMOJA 2027 AFCON qualifiers alongside South Africa (Bafana Bafana), Guinea and Eritrea
.
RECOMMENDED NEWS