Ruto asema uchaguzi mkuu ni baina ya mabwanyenye na wasiojiweza

News
By Carren Papai | Jun 05, 2022

Mgombea wa urais wa Chama cha UDA William Ruto na wandani wake wameendelea kutaja kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Agosti tisa kuwa baina ya mabwanyenye na watu wa matabaka ya chini.

Ruto ambaye amehudhuria ibada za Kanisa la PAG eneo la Dagoreti Kaskazini na PCEA katika Kaunti ya Kiambu amehutubia wakazi wa Gatina ambapo amesema kuwa taifa hili linastahili kuongozwa na mtu anayefahamu fika changamoto za wananchi hasa ukosefu wa ajara miongoni mwa vijana.

Wandani wake Spika wa Bunge la Kitaifa Justine Muturi na Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wameendelea kupuuza uwezo wa Dola Maslahi, System kuingilia uchaguzi mkuu wa Agosti tisa.

Aidha Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na Mbunge wa Kandara Alice Wahome wameendelea kuwasuta wapinzani wao kutokana na kuali kwamba Ruto hatakuwa debeni wakati wa uchaguzi mkuu.

Share this story
Andiego leads boxers in Paris Olympic qualifiers
Kenya coach expects to send a team of 12 boxers - seven male and five female athletes to Thailand.
Kenya's Esports star Bilal clinches historic victory at African Championship in Nigeria
Kenya beat Nigeria 3-2 in the final of Street Fighter 6 game.
Rugby Africa Women's Cup: Kenya Lionesses seek redemption against South Africa
Lionesses have changed three for Springbok women duel.
.
RECOMMENDED NEWS