Ruto asema uchaguzi mkuu ni baina ya mabwanyenye na wasiojiweza

News
By Carren Papai | Jun 05, 2022

Mgombea wa urais wa Chama cha UDA William Ruto na wandani wake wameendelea kutaja kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Agosti tisa kuwa baina ya mabwanyenye na watu wa matabaka ya chini.

Ruto ambaye amehudhuria ibada za Kanisa la PAG eneo la Dagoreti Kaskazini na PCEA katika Kaunti ya Kiambu amehutubia wakazi wa Gatina ambapo amesema kuwa taifa hili linastahili kuongozwa na mtu anayefahamu fika changamoto za wananchi hasa ukosefu wa ajara miongoni mwa vijana.

Wandani wake Spika wa Bunge la Kitaifa Justine Muturi na Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wameendelea kupuuza uwezo wa Dola Maslahi, System kuingilia uchaguzi mkuu wa Agosti tisa.

Aidha Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na Mbunge wa Kandara Alice Wahome wameendelea kuwasuta wapinzani wao kutokana na kuali kwamba Ruto hatakuwa debeni wakati wa uchaguzi mkuu.

Share this story
Junior Starlets gear up for World Cup qualifier encounter against Uganda
Junior Starlets have set their sights on a crucial away win over Uganda’s Teen Cranes as they aim to secure their return to the global stage.
Under-20 talents to face off in battle for tickets to world event in Eugene
The World Under-20 Championships is set for August 5-9 in Eugene.
Over 2,500 players to battle it out in Duracoat Golf Masters Series
The Duracoat Golf Masters series 2026 will be played at 12 venues before the grand finale that will be staged at Mount Kipipiri at the end of the year. 
Sh11 B more to beat AFCON 2027 deadline
Kenya requires an additional Sh11.02 billion from the Exchequer to  complete key stadiums earmarked for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON),
Universities raise the bar in KUSF games
The just concluded Kenya Universities Sports Federation (KUSF) Nairobi North Conference League has once again revealed the growing competitiveness of university sports in Kenya.
.
RECOMMENDED NEWS