Ruto Alifadhiliwa na Nani Kuenda Marekani?
The Situation Room
May. 31, 2024
Madai ya Rais William Ruto kuwa sehemu ya ziara yake kuenda nchini Marekani ilifadhiliwa na marafiki zake ni kinyume na Katiba ya Nchi. Waliomfadhili Rais ni kina nani na walifanya hivyo kwa nia gani?
RELATED EPISODES
What The New Budget Figures Reveal About Government Austerity: Ramah Nyang
Soon The Political Class Will Not Be Able To Contain Kenya's Revolutions!
Why Governance Systems In This Country Are Designed To Fail.