Kilio cha Mfanyakazi Mkenya
The Z Tribe
May. 02, 2024
Kenya inaungana na dunia kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi. Sepetuko inakariri kuwa mfanyakazi Mkenya hana lolote la kusherehekea. Mishahara ni duni, ushuru anaotozwa ni maradufu, mazingira anamofanyia kazi ni duni na masaibu mengine mengi anayokumbana nayo.
RELATED EPISODES
ULILALA KWAKO AMA KWA MTU WAKO?!
Gen Zs’ Maandamano Lingo: The Z Tribe Podcast
The Cost of Protest: Youth, Tragedy, and the Fight Against the Finance Bill