Siasa Podcast: Hatutaki Siasa Makanisani - Askofu Anthony Muheria

Siasa
Sep. 13, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Hatua ya Kiongozi wa Kanisa la Kianglikana, Jackson Ole Sapit kuwanyima fursa wanasiasa kuhutubu katika mimbari kwenye halfa aliyokuwa akiongoza katika Eneo Bunge la Butere, Kaunti ya Kakamega, imeendelea kuibua mijadala mikali. Je, ndio mwisho wa maendeleo na ujenzi wa makanisa baada ya wanasiasa kunyimwa fursa ya kuzungumza mimbarini? Mwanahabari wetu Victor Mulama amemhoji Askofu wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Nyeri Anthony Muheria ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Madhehebu la Kushughulikia Kanuni za Kuzingatiwa katika Maeneo ya Ibada.​

Share this episode
MEDIA AND THE COMING ADMINISTRATION
Clay Muganda and Godfrey Ombogo, editors in the Standard group. They talk about Media and the comin...
KIONGOZI WA KITAIFA AU MSIMAMIZI WA ENEO?
Juhudi zinazoendelezwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua kusukuma ajenda za eneo la Mlima Kenya zinahuj...
.
RECOMMENDED NEWS